TwitterPinterest Facebook Emailyoutube

Thursday, 11 February 2016

0

KIVUKO CHAZUA KIZAA ZAA KIGAMBONI



Kivuko cha mv kigamboni kimezua kizaa zaa na watu kujitupa majini kuokoa maisha yao baada ya kupoteza muelekeo sababu ya kujaza kupita kiasi hvo watu kujitupa majini na jambo la kushangaza ni wananchi kuwa bize na kupiga picha na sio kusaidia watanzania wenzao,Hakuna kifo wala majeruhi yaliyoripotiwa mpaka sasa.

0 comments: