TwitterPinterest Facebook Emailyoutube

Thursday, 10 March 2016

0

LIVERPOOL 'YAIUA' MANCHESTER UNITED,DE GEA AMFICHIA AIBU VAN GAAL

Timu ya Liverpool imeanza vyema mzunguko wa kwanza wa UEFA Europa ligi raundi ya 16 kwa kuwazamisha mahasimu wao wakubwa Manchester United kwa jumla ya mabao 2-0 na kujipa matumaini makubwa ya kusonga mbele katika mzunguko unaofuata,mabao ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge kwa penalti dakika ya 20 na Roberto Firmino dakika 73.
Golikipa wa United,David de Gea ndiye aliyekua 'man of the match' kwa kuokoa magoli ya wazi ambayo yangefanya united wapate aibu ya mwaka akizuia kwenye mstari shuti la phillipe coutinho,kisha kuwazuia Daniel Sturridge na Adam Lallana.

matokeo ya mechi nyingine
Dortmund        3-0 Totenham
Ath bilbao       1-0 Valencia
Basel               0-0 sevila
Fernabache     1-0 braga
shak donestk   3-1 Anderlecht
Prague            1-1 Lazio
Vilareal          2-0 Bayer Leverkusen

0 comments: