LIVERPOOL YATOLEWA FA CUP
Wingu la matokeo mabaya limezidi kuiandama timu ya liverpool chini ya Jurgen klopp baada ya kutolewa kwenye kombe la FA na timu ya Westham kwa mabao 2-1 katika muda wa nyongeza dakika ya 120 ambayo imewafanya Liverpool wanyonge wao na kuwafunga mara ya tatu ndani ya msimu mmoja
mabao ya west ham yalifungwa na M
ichail Antonio na Angelo Ogbona wakati lile la Liverpool lilifungwa na Philipe Coutinho
mabao ya west ham yalifungwa na M
ichail Antonio na Angelo Ogbona wakati lile la Liverpool lilifungwa na Philipe Coutinho
0 comments:
Post a Comment